Nakukaribisha katika Blogu ya Akida uhabarike kwa habari za Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani zilizotokea na zitakazotokea... 'be the First to know..!
Wachezaji wa Taifa Queens ya Tanzania wakipambana na wa timu ya Namibia katika mashindano ya kimataifa ya mchezo wa Netiboli yanayoendelea Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana. Namibia ilishinda 45-40
Mshambuliaji wa timu ya African Lyon akiwatoka mabeki wa Manyema Rangers wakati wa michuano ya ligi ya soka Tanzania Bara katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam leo. Lyon ilishinda kwa 2-1.