Wednesday, September 30, 2009

Taifa Queens yawanyima raha watanzania



Wachezaji wa Taifa Queens ya Tanzania wakipambana na wa timu ya Namibia katika mashindano ya kimataifa ya mchezo wa Netiboli yanayoendelea Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana. Namibia ilishinda 45-40

African Lyon yaitotesha Amnyema Rangers



Mshambuliaji wa timu ya African Lyon akiwatoka mabeki wa Manyema Rangers wakati wa michuano ya ligi ya soka Tanzania Bara katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam leo. Lyon ilishinda kwa 2-1.