Wednesday, January 19, 2011

SIKU YANGA ILIPOITOA JASHO ATLETICO PARANAENSE YA BRAZIL


Godfrey Bonny wa Yanga akibadilishana jezi na Bruno Batista baada ya mchezo kuisha


Salum Telela wa Yanga akimtoka Bruno Batista


Rais wa RBP, Rahma Al Kharoosi akizungumza na wanahabari baada ya mchezo


Mabeki wa Atletico wakiwa wameduwaa huku kipa akiwa chini baada ya Bruno Costa De Souza (6) kujifunga


Wachezaji wa Yanga wakibadilishana jezi na wa Atletico ikiwa ni ishara ya 'fair play' baada ya mechi


Kipa wa Atletico, Aderbar Melo dos Santos Neto, akiokoa moja ya hatari langoni kwake huku mabeki wa klabu hiyo wakiwa tayari kwa lolote


Davis Mwape wa Yanga akiwania mpira na beki wa kushoto wa Atletico, Bruno Costa de Souza