Tuesday, December 23, 2008

Matukio mbalimbali jijini Dar es Salaam


Guess! Hawa wachina wamedakwa kwa sababu ya bidhaa feki au? Walinaswa na camera yangu jumatatu ya wiki hii


Mpaa samaki akifanya mambo yake katika soko la feri, Dar.


Bongo girls noma! hapa ni mtaa wa Ohio, Dar es Salaam


Msongamano umezidi sana bongo! hapa jamaa wakivuka katika barabara ya bibi titi, Dar




Picha imejirudia




Meli ya mizigo ikiondoka katika bandari ya Dar es Salaam



Monday, December 22, 2008

Saturday, December 20, 2008

Tazama picha hizi na kisha toa maoni yako


Mbilia Bel akiwa katika pozi


Hapa ni mtaa wa agrey na Livingstone, Kariakoo



Mbilia Bel akizungumza na waandishi wa habari kabla ya onyesho lake



Wasukuma mkokoteni wakikatiza mitaa ya Posta wakiwa hawana viatu



Hapa ni mtaa wa Agrey na Livingstone, Kariakoo



visit my blog to see different photos in Downtown Dar




Dear friends,


it's my pleasure to inform you that my blog is now online www.akida-sponsor.blog Visit now to see different photos of the Down town the Dar es Salaam City.


with regards,


Akida