Tuesday, December 23, 2008

Matukio mbalimbali jijini Dar es Salaam


Guess! Hawa wachina wamedakwa kwa sababu ya bidhaa feki au? Walinaswa na camera yangu jumatatu ya wiki hii


Mpaa samaki akifanya mambo yake katika soko la feri, Dar.


Bongo girls noma! hapa ni mtaa wa Ohio, Dar es Salaam


Msongamano umezidi sana bongo! hapa jamaa wakivuka katika barabara ya bibi titi, Dar




Picha imejirudia




Meli ya mizigo ikiondoka katika bandari ya Dar es Salaam



No comments:

Post a Comment