Wednesday, February 3, 2010

BINGO MPYA KUANZISHWA

Kampuni ya Entertainment afica ltd, leo imekabidhiwa rasmi leseni ya uendeshaji wa biashara ya michezo ya kubahatisha ya Bingo.

Katika michezo ambayo Kampuni hii itakuwa ikiichezesha ni pamoja na Easy Bingo ambao ni mchezo mpya wa kubashiri namba.

Premier Bingo ni Mchezo wa kila siku unaochezeshwa kwenye kadi maalumu zinazopatikana kwa mawakala walioidhinishwa na kampuni hiyo. Kwa kawaida hizi huuzwa kwa bei ya sh 1000.


Abbas Tarimba akikabidhi cheti kwa Meneja Uendeshaji wa Kampuni hiyo

No comments:

Post a Comment