Wednesday, February 3, 2010

JK MGENI RASMI KONGAMANO KUBWA LA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO

Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Kongamano kubwa la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano linalotarajiwa kufanyika tarehe 8 na 9 ya mwezi Machi mwaka huu katika Ukumbi wa Diamond.



Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mkutano wa Kongamano hilo jijini Dar es Salaam leo, Rais wa Jopo la Wataalamu Afrika Mashariki, Paul Mashauri amesema hiyo ni fursa ya pekee kwa watanzania kujifunza na kuzifahamu changamoto mbalimbali zinazokabili sekta hiyo nchini.

No comments:

Post a Comment