
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mkutano wa Kongamano hilo jijini Dar es Salaam leo, Rais wa Jopo la Wataalamu Afrika Mashariki, Paul Mashauri amesema hiyo ni fursa ya pekee kwa watanzania kujifunza na kuzifahamu changamoto mbalimbali zinazokabili sekta hiyo nchini.
No comments:
Post a Comment