Monday, February 7, 2011

CUF WAANDAMANA KUPINGA SERIKALI KUILIPA DOWANS


Wafuasi wa Chama cha wananchi (CUF) wakiandamana kuipinga Serikali kuilipa kampuni ya kuzalisha umeme ya DOWANS shilingi bilioni 94, Dar es Salaam leo asubuhi. PICHA: YUSUF BADI

No comments:

Post a Comment