Vikundi hivyo ni Angaza Women cha Siha mkoani Kilimanjaro, Watu Maji na Mazingira (WAMAMA) cha Tarime mkoani Mara pamoja na Kilombero Group for Community Development (KGCD) ambavyo kila kimoja kimepata shilingi milioni 5.

Wawakilishi wa vikundi hivyo, (Kutoka kushoto) Christina Kulunge wa Morogoro, Lucas Bwana wa Tarime na Mama Mchungaji Joyceline Njama wa Kilimanjaro kwa pamoja wakiangalia mfano wa hundi yao waliyokabidhiwa leo na NEMC
No comments:
Post a Comment