Thursday, December 3, 2009

HAPA VIPI?


Kondakta wa dalada linalofanya safari zake kati ya Kimara na Kariakoo akipakia abiria sehemu ya kivuko cha watembea kwa miguu, Njia panda ya Mabibo, Urafiki. Hii si mara ya kwanza kwa makondakta na madereva wao kupakia na kushusha abiria sehemu hii jambo ambalo ni ukiukaji wa sheria za usalama barabarani.... Kamanda Kombe upo?

No comments:

Post a Comment