Tuesday, December 29, 2009

MBIO ZA KIFIMBO CHA MALKIA KATIKA PICHA


Wavuvi nao katika Soko la Samaki Magogoni hawakuwa nyuma...

Utamaduni wa wahindi haukuachwa nyuma...

Rais wa TFF, Leodgar Tenga na Mkurugenzi wa TBC, Tido Muhando hawakuachwa nyuma...

Maafande wetu si tu wanapambana na wahalifu, lakini hata katika shughuli za kijamii wamo...

Tabasamu la Kifimbo cha Malkia...

No comments:

Post a Comment