Kilaaini amesema ni vema kama unakwenda kusherehekea mbali na nyumbani ukabeba familia yako yote na si kuiacha nyingine ikiwa wapweke kwa kushindwa kusherehekea sikukuu hii.
Askofu Kilaini ametoa kauli hiyo wakati wa Ibada ya Misa ya Krismasi iliyofanyika kitaifa katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Joseph, Dar es Salaam leo asubuhi.

Askofu Kilaini akizungumza na mtoto
No comments:
Post a Comment