Thursday, May 20, 2010

MWANANYAMALA HOSPITALI DOLE TUPU- LUKUVI

Mkuu wa Mkoa huu leo amefanya ziara katika hospitali ya Mwananyamala na kusema kwamba ni safi kuliko watu wanavyodhania.

"Ukiwa nje watu wanaizungumzia vibaya, lakini leo nimekuja mwenyewe nimejionea. Mna mshikamano na mnafanya kazi kwa moyo mmoja." Alisema.

Hii si kawaida hata mara moja kwa viongozi wa ngazi za juu Serikalini kufanya ziara hospitalini hapo na kumwaga sifa kemkem kama ilivyo leo kwa Lukuvi.


Lukuvi akipita katikati ya wazazi waliopo wodini

No comments:

Post a Comment