Saturday, July 31, 2010

REST IN PEACE JENNIFER MWELA....


Bw. Dennis, ambaye ni mumewe marehemu Jennifer akilia kwa uchungu wakati wa kumuaga mpendwa mkewe


Mama wa marehemu Jennifer, Arafa Mgaya naye pia hakuweza kujizuia wakati wa kumuaga mwanaye mpendwa, Jennifer


Na hii ni sehemu ya umati wa watu uliomiminika kumsindikiza Jennifer kwenye safari yake ya mwisho, makaburini Kinondoni leo


Na hapa ndipo safari ya Jennifer ilipokuwa imeishia... Sisi tulimpenda sana, lakini Mungu alimpenda zaidi, Mwanga wa amani umuangazie, apumzike kwa amani...

No comments:

Post a Comment