
Bw. Dennis, ambaye ni mumewe marehemu Jennifer akilia kwa uchungu wakati wa kumuaga mpendwa mkewe

Mama wa marehemu Jennifer, Arafa Mgaya naye pia hakuweza kujizuia wakati wa kumuaga mwanaye mpendwa, Jennifer

Na hii ni sehemu ya umati wa watu uliomiminika kumsindikiza Jennifer kwenye safari yake ya mwisho, makaburini Kinondoni leo

Na hapa ndipo safari ya Jennifer ilipokuwa imeishia... Sisi tulimpenda sana, lakini Mungu alimpenda zaidi, Mwanga wa amani umuangazie, apumzike kwa amani...
No comments:
Post a Comment