Tuesday, September 14, 2010

KAMPENI DAR ZADORORA, MIKOANI MBELE KWA MBELE

Wakati kampeni za uchaguzi zikiwa zinapata hamasa zaidi huko mikoani, huku jijini Dar tunashuhudia zikiwa zimedorora.

Utafiti unaonesha kuwa wakazi wa jiji hili wamekuwa wakibanwa na majukumu yao binafsi zaidi ukilinganisha na maeneo ya mikoani ambako wengi wa wananchi wa huko wamekuwa wakiacha shughuli zao kwa muda na kujitokeza kwa wingi kwenye mikutano ya kampeni.

Mbali na hilo, pia hamasa zaidi katika kampeni za awamu hii ipo mikoani zaidi kutokana na wagombea wengi kuwa wapya ambao wameonesha kuchuana zaidi ukilinganisha na awamu iliyopita.

KAMPENI PICHANI LEO:

JK: BUMBULI





SALMA KIKWETE: MUSOMA




JUMA DUNI HAJI WA CUF: SUMVE



DK BILAL: DODOMA


No comments:

Post a Comment