Tuesday, September 14, 2010

WASAJILI WAPYA WA MAHAKAMA KUU WAAPISHWA LEO


Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Fakihi Jundu (katikati mbele), Jaji Mfawidhi wa Mahakama ya Ardhi, Regina Rweyemamu (wa pili kulia) na Jaji Mfawidhi wa Kanda ya Dar es Salaam, Semistocles Kaijage (wa pili kushoto) wakiwa kwenye picha ya pamoja na Wasajili wapya wa Mahakama Kuu Tanzania walioapishwa leo

No comments:

Post a Comment