Askari hao waliowasili kwenye Bandari ya Dar es Salaam mwishoni mwa wiki kwa meli ya kivita ya HMS Montrose watakuwepo kwa siku tano kabla ya kuondoka, ambapo vikosi mbalimbali vya wanamaji wa Tanzania vitapewa mbinu na mafunzo ya namna ya kupambana na maharamia.
Wakiwa njiani kuja hapa nchini, askari hao wameweza kudhibiti maharamia wa somalia kwa kiwango kikubwa. Kamanda wa meli hiyo, Jonathan Lett anasema, "Tumeweza kudhibiti kwa kiasi kikubwa maharamia katika pwani ya Somalia." Alisema.

British Royal Navy soldier, Rob McMurrich with his General Purpose Machine Gun
No comments:
Post a Comment