Monday, June 1, 2009

Kampuni ya ukopeshaji fedha yazinduliwa

Kampuni ya kifedha ya GroFin Tanzania imezinduliwa leo asubuhi na kutoa fursa kwa wananchi kwenda kukopa fedha kwa ajili ya kuendeshea biashara na miradi yao mbalimbali.

Mkurugenzi Mkuu wa GroFoin- Tanzania, Ezra Musoke amewataka wananchi kwenda kwa wingi kukopa fedha katika Kampuni hiyo ambapo amesema mikopo yao ni nafuu ambayo wananchi wengi wanaweza kumudu.


Ofisa Mkuu wa Uwekezaji wa GroFin Africa, Guido Boysen akifafanua jambo katika mkutano na waandishi wa habari leo...

No comments:

Post a Comment