Liyumba na mawakili wake waliwasilisha vivuli vya hati ya mali ambavyo mahakama ilitupilia mbali ombi hilo, na kuhitaji hati halisi, na hivyo Hakimu kuamuru Liyumba kurudishwa mahabusu mpaka tarehe 15 ya mwezi juni kwa ajili ya kusikiliza tena maombi hayo ya dhamana.
SOURCE: Neema Mgonja

Liyumba (kushoto) akiteta jambo na wakili wake, Majura Magafu...
No comments:
Post a Comment