Friday, June 5, 2009

SAUT Tawi la Dar yazinduliwa rasmi

Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino, Tawi la Dar es Salaam kimezinduliwa rasmi leo na Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, jimbo kuu la Dar es Salaam, Muhashamu Kadinali Pengo.

Chuo hicho kinachotoa shahad ya uzamili pamoja na udaktari katika masomo ya Mawasiliano ya Jamii, kitakuwa ni cha kwanza kutoa vyeti vya ngazi hiyo kwa Tanzania.


Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muhashamu Kadinali Pengo akibariki baadhi ya madarasa ya chuo cha SAUT, tawi la Dar es Salaam mara baada ya kukizindua rasmi leo mchana...

No comments:

Post a Comment