Wafanyabiashara pamoja na wakazi wa jiji hili walionekana kuendelea na shughuli zao kwa tabu juu ya mrundikano wa taka hizo ambazo zilikuwa zikitoa harufu kali na kusababisha kero kwa wapita njia.

Mkazi wa jijini akijaribu kupunguza taka zilizokuwa zimerundikana eneo hilo na kuwa usumbufu kwa wafanyabiashara na wapita njia
No comments:
Post a Comment