Friday, July 31, 2009

'Happy Birthday to us....'


Fadhili na Upendo wakikata keki kwa ajili ya kulishana...


Fadhili akimlisha Upendo keki baada ya kuikata...


Na sasa Upendo anamlisha Fadhili keki...


Na sasa wanamlisha bosi wao, Mkumbwa Ally...


Waoo... huyu ni nani? je, wamjua? ni brother Michuzi akiwalisha keki wadogo zake Fadhili na Upendo...


Waooo... huku ni kitengo cha IT... na hivi ndivyo mambo yalivyokuwa... ni kuserebuka tu... uhuu!!

Leo ni siku muhimu sana kwetu.. nilikuwa natamani siku moja nikutane na mtu ambaye siku yetu ya kuzaliwa inafanana lakini sikuwahi kubahatika... Upendo Hartsuiker, mwandishi wa Jarida la Star Magazine la Dailynews ndiye wa kwanza kumbaini kuwa siku yetu ya kuzaliwa inaangukia pamoja. Nimefurahi sana kuona hivyo... leo tumekata keki pamoja ya siku yetu ya kuzaliwa na kuwalisha wafanyakazi wenzetu pamoja na bosi wetu, kwa kweli tulifurahi na pia wenzetu walifurahi pia... "Happy birthday to Upendo and me... let's stay for longer lasting.. God bless us"

No comments:

Post a Comment