Thursday, August 6, 2009

Mlalahoi anyakuwa Mil.5 za Kismat sms

Waswahili wanasema ukilala masikini utaamka tajiri... ndivyo ilivyo kwa mama huyu Baby Sheni mkazi wa Igunga, Tabora amejinyakulia sh milioni 5 za halali katika mchezo wa bahati nasibu ya Kismat sms wakati wa droo ya pili ya mchezo huo leo hapa uliochezwa katika ofisi za Selcom gaming jijini hapa... na hiyo chini ni picha ya mchezo huo...

Meneja masoko wa Selcom gaming, Juma Mgori pamoja na Humudi Abdulhusein wa Bodi ya michezo ya kubahatisha wakiongea na mshindi..

No comments:

Post a Comment