Kiongozi wa ujumbe toka Brazil, Andres Sanchez (kulia) akikabidhi mpira kwa Waziri wa Kazi, Ajira na Vijana, Juma Kapuya
Nakukaribisha katika Blogu ya Akida uhabarike kwa habari za Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani zilizotokea na zitakazotokea... 'be the First to know..!
Monday, June 7, 2010
TANZANIA WAUNGANA NA BRAZILI KUPIGA VITA MALARIA
Ujumbe wa Kampeni ya kupiga vita ugonjwa wa Malaria toka nchini Brazili ukiongozwa na andres Sanchez leo umekutana na Serikali ya Tanzania kwa lengo la kupiga vita ugonjwa hatari wa Malaria, ambapo ujumbe huo ulikula chakula cha pamoja cha mchana na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari katika hoteli ya Moevenpick, jijini hapa Dar es Salaam.

Kiongozi wa ujumbe toka Brazil, Andres Sanchez (kulia) akikabidhi mpira kwa Waziri wa Kazi, Ajira na Vijana, Juma Kapuya
Kiongozi wa ujumbe toka Brazil, Andres Sanchez (kulia) akikabidhi mpira kwa Waziri wa Kazi, Ajira na Vijana, Juma Kapuya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment