Monday, June 7, 2010

TANZANIA WAUNGANA NA BRAZILI KUPIGA VITA MALARIA

Ujumbe wa Kampeni ya kupiga vita ugonjwa wa Malaria toka nchini Brazili ukiongozwa na andres Sanchez leo umekutana na Serikali ya Tanzania kwa lengo la kupiga vita ugonjwa hatari wa Malaria, ambapo ujumbe huo ulikula chakula cha pamoja cha mchana na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari katika hoteli ya Moevenpick, jijini hapa Dar es Salaam.


Kiongozi wa ujumbe toka Brazil, Andres Sanchez (kulia) akikabidhi mpira kwa Waziri wa Kazi, Ajira na Vijana, Juma Kapuya

No comments:

Post a Comment