Friday, June 18, 2010

JK AZINDUA MITAMBO MIPYA YA KUFUA UMEME NA KUZINDUA MRADI WA MAJI


Mhandisi wa Tanesco mkoa wa Kigoma, Jenkins Matumbo akimwonesha Rais Kikwete jinsi mitambo mipya ya kuzalisha umeme inavyofanya kazi katika chumba maalum cha kuongozea mitambo hiyo muda mfupi baada ya Rais Kikwete kuzindua mitambo hiyo mjini Kigoma jana.Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO mhandisi William Mhando.


Rais Kikwete akimtwika maji Mkazi wa Kigoma Bi.Zainabu Gobela muda mfupi baada ya kuzindua mradi wa maji ujulikanao kama Mkongoro II mjini Kigoma jana

PICHA ZOTE NA FREDDY MARO

No comments:

Post a Comment