Monday, June 7, 2010

CRDB YAWAKOMBOA WANAFUNZI

Benki ya CRDB leo imekabidhi mabasi matano kwa Serikali kwa ajili ya kubebea wanafunzi wa shule mbalimbali jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya mpango wa kupunguza kero ya usafiri kwa wanafunzi hao.


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na viongozi wa ngazi za juu serikalini na wa Benki ya CRDB baada ya kupokea mabasi hayo

No comments:

Post a Comment