Monday, June 7, 2010

MPIGAPICHA MKUU WA HABARILEO AELEZEA AJALI ALIYOIPATA

Mpigapicha Mkuu wa gazeti la Habari Leo linalochapishwa na Kampuni ya Magazeti ya Serikali ya (TSN), Athumani Hamisi leo alikutana na waandishi wa habari na wapigapicha katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) ulioko katikati ya jiji la Dar es Salaam na kuzungumzia mazingira ya ajli aliyoipata.



No comments:

Post a Comment