Monday, June 7, 2010

WATANZANIA WAOMBEA NCHI ZENYE MISUKOSUKO

Watanzania wenye imani ya kikristo leo wamekusanyika pamoja kwa ajili ya kufanya ibada maalumu ya kuliombea Taifa hili la Tanzania na mataifa mengine yaliyo kwenye misukosuko, leo jijini hapa kwenye kanisa la Pentekoste, Manzese uanja wa Sifa.

No comments:

Post a Comment