Friday, October 29, 2010

SIGARA HATARI!



Ni dhambi kubwa kwa Mungu kwa mtu anayejitoa mwenyewe uhai wake kwa namna yeyote ile. Unapofanya jambo ambalo unafahamu kuwa mwisho wa siku litakutoa uhai, ni sawa na kujinyonga mwenyewe.

Pichani ni pakiti za sigara zenye onyo kali kwa wavutaji wake. Ajabu ni kwamba onyo hilo limechukua nafasi kubwa kuliko nembo yenyewe ya bidhaa hiyo. Je, kwa hali hii,ukifa nani wa kulaumiwa wakati ushapewa onyo tena kwa maandishi makubwa tu?

No comments:

Post a Comment