Monday, August 1, 2011

FIFA YAENDESHA MAFUNZO KWA MAKOCHA WANAWAKE


Mkufunzi wa mafunzo ya ukocha kwa wanawake wa FIFA kutoka nchini Namibia, Jacqueline Chipanga akielekeza jambo kwa makocha hao kutoka mikoa mbalimbali nchini wakati wa mafunzo hayo yaliyoanza leo kwenye hoteli ya Rainbow, jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment