Monday, August 1, 2011

KOICA YANOGESHA NANENANE MOROGORO


Balozi wa Korea Kusini nchini, Kim Young- Boon (kushoto) akiwa amebeba mgongoni kifaa inachoitwa ‘Jige’ ambacho hutumiwa na wananchi hasa wakulima vijijini nchini Korea Kusini kwa urahisi mara baada ya kufungua Banda la Koica leo mjini Morogoro kwenye Maonesho ya wakulima yaliyoanza kwenye viwanja vya Nanenane mjini humo. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Kanali Mstaafu Issa Machibya.
Picha: John Nditi

No comments:

Post a Comment