Monday, August 1, 2011

FOLENI BADO YAWATESA WAKAZI DAR


Magari yakiwayamesongamana kwenye Mtaa maarufu wa Samora katikati ya jiji la Dar es Salaam kama ilivyonaswa na kamera ya sponsor leo mchana. Foleni ya magari bado ni kero inayowatesa wakazi wa jiji hilo.

No comments:

Post a Comment