Monday, August 1, 2011

WASHINDI TIGO JIPANGE KIMAISHA WAKABIDHIWA MILIONI 5


Washindi wa promosheni ya Jipange Kimaisha inayoendeshwa na kampuni ya simu ya Tigo (kutoka kushoto) Festo Saluni, Jane Mtenga na Nasoro Muharam wakiwa wameshikilia hundi yao ya shilingi milioni 5 mara baada ya kukabidhiwa leo jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment