Tuesday, March 29, 2011

MWAKILISHI WA NAKAYAMA AKAGUA MAENDELEO SEKONDARI YA WAMA-NAKAYAMA

Rais wa Shirikisho la Uchumi na Maendeleo kwa nchi za Afrika (AFRECO) ambaye pia ni Mwakilishi wa Nakayama kutoka nchini Japan, Seneta Tetsuro Yano leo ameitembelea Shule ya Sekondari ya wasichana ya WAMA-Nakayama iliyopo Nyamisati mkoa wa Pwani kwa ajili ya kuangalia maendeleo ya shule hiyo.

Zifuatazo ni picha mbalimbali zinazoonyesha ziara ya Kiongozi huyo akiwa na Mwenyekiti wa WAMA, Mama Salma Kikwete


Seneta Yano akikabidhi madaftari kwa walimu wa shule hiyo. Kulia ni Mama Salma Kikwete


Sehemu ya wanafunzi wa shule hiyo wakiwa wenye tabasamu wakati wa ugeni wa kiongozi huyo


Seneta Yano na Mama Salma Kikwete wakiwa darasani


Seneta Yano akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi, walimu na wanafunzi wa shule hiyo

PICHA: MAELEZO

No comments:

Post a Comment