Tuesday, March 29, 2011

UTEPE MWEUPE WATOA SOMO LA UZAZI KWA WABUNGE


Mratibu wa Muungano wa utepe mweupe wa uzazi salama nchini, Rose Mlay akielezea jambo kwa wenyeviti wa kamati mbalimbali za bunge za kudumu pamoja na wajumbe, wakati wa mkutano kuhusu hali ya uzazi nchini uliofanyika Dar es Salaam jana.

Katika mkutano huo mada mbalimbali zinazohusu uzazi salama kwa Mama mjamzito na mimba za utotoni ziliwasilishwa.

No comments:

Post a Comment