Tuesday, March 29, 2011

RITA KUANZA KAMPENI YA KUSAJILI VIZAZI NA VIFO



Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini nchini (RITA), Fillip Saliboko (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) Dar es Salaam leo kuhusu Kampeni ya Usajili wa Vizazi na Vifo kwa Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam. Mwingine ni Mkurugenzi wa Haki za Kisheria (DLRP), Emmy Hudson

PHOTO/SOURCE: YUSUF BADI

No comments:

Post a Comment