Zifuatazo ni picha mbalimbali za tukio hilo:
Baadhi ya wahadhiri wa chuo hicho wakiwa kwenye maandamano kuelekea eneo la tukio.
Dk. Shein akikabidhiwa kabrasha la vifungu vya sheria vinavyomuwezesha kuwa Mkuu wa chuo hicho

Sasa ni muda muafaka! Dk Shein akivishwa joho kama ishara ya kuwa Mkuu wa chuo hicho baada ya kutawazwa rasmi
PHOTO/SOURCE: STATE HOUSE, ZANZIBAR
No comments:
Post a Comment