Tuesday, March 29, 2011

DK SHEIN ATAWAZWA KUWA MKUU WA CHUO KIKUU ZANZIBAR 'SUZA'

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohammed Shein leo ametawazwa rasmi kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Zanzibar, SUZA, katika sherehe zilizofanyika kwenye viwanja vya Majestic mjini Unguja.

Zifuatazo ni picha mbalimbali za tukio hilo:



Baadhi ya wahadhiri wa chuo hicho wakiwa kwenye maandamano kuelekea eneo la tukio.



Dk. Shein akikabidhiwa kabrasha la vifungu vya sheria vinavyomuwezesha kuwa Mkuu wa chuo hicho



Sasa ni muda muafaka! Dk Shein akivishwa joho kama ishara ya kuwa Mkuu wa chuo hicho baada ya kutawazwa rasmi

PHOTO/SOURCE: STATE HOUSE, ZANZIBAR

No comments:

Post a Comment