Kufanyika kwa mabadiliko haya kumezingatia mwongozo wa Benki Kuu ya Tanzania kwa wakurugenzi wa mabenki na taasisi za kifedha wa mwaka 2008 ambao unawazuia wabunge kushika nyadhifa za ukurugenzi wa taasisi za kifedha.

Mwenyekiti mpya wa bodi, Dk. Edmund Mndolwa (kulia) akifafanua jambo
No comments:
Post a Comment