Michezo waliyoshiriki ni pamoja na soka kwa mashabiki wa timu mbili mashuhuri za Simba na Yanga ambapo mwisho wa mchezo Yanga waliibuka kidedea kwa kushinda bao moja.
Yafuatayo ni matukio ya bata hilo kwenye picha

Mkurugenzi wa Masoko wa TBL, David Minja akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari

Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Oseah akikabidhi jezi kwa nahodha wa timu ya mashabiki wa Simba, .Amri Massare

Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Oseah akikabidhi jezi kwa nahodha wa timu ya mashabiki wa Yanga, Muhidin Sufiani

Meneja wa bia ya Kilimanjaro George Kavishe akijibu maswali ya waandishi hao

Waandishi w ahabari za michuano ya Kili Taifa Cup inayotarajiwa kuanza mwezi ujao wakipata darasa
No comments:
Post a Comment