Tuesday, March 20, 2012

DK SHEIN AKUTANA NA VIONGOZI WA WAFANYABIASHARA NA WAKULIMA


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizunagumza na Uongozi wa Baraza la Wafanyabiashara, Wenye viwanda na Wakulima Zanzibar walipofika ikulu Mjini Zanzibar jana na walizungumzia masuala ya ushirikiano kati ya sekta binafsi na sekta za Umma,(wa tatu kulia)ni Rais wa Jumuiya ya wafanya Biashara na wenyeviwanda na wakulima,(Chamber) Mbarouk Omar.

source: Zanzibar State House

No comments:

Post a Comment