Monday, March 19, 2012

SHEREHE ZA MIAKA 10 YA NHIF ZAFANA DAR


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akionesha kitabu chenye ripoti ya hali ya afya kwa vijijini baada ya kukizindua wakati wa sherehe hizo zilizofanyika leo, Dar es Salaam. Katikati ni Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Lucy Nkya na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), deogratias Ntukamazina.


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikabidhi tuzo ya shujaa wa Mfuko kwa Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa.


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikabidhi tuzo ya shujaa wa Mfuko kwa Waziri Mkuu Mstaafu wa awamu ya tatu, Frederick Sumaye.


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikabidhi tuzo ya shujaa wa Mfuko kwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii (awamu ya tatu), Anna Abdallah.


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikabidhi tuzo ya shujaa wa Mfuko kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (awamu ya tatu), Willison Mukama.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikabidhi tuzo ya shujaa wa Mfuko kwa Margaret Sitta.


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikabidhi tuzo ya shujaa wa Mfuko kwa mwandishi wa habari wa Channel Ten, Faraja Kihongole.


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikabidhi tuzo ya shujaa wa Mfuko kwa mwandishi wa habari wa gazeti la Habari Leo, Beda Msimbe.


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikabidhi tuzo ya shujaa wa Mfuko kwa mwandishi wa habari wa the Guardian, Joyce Bazira.


Waandishi mbalimbali wa habari wakionesha kitabu chenye ripoti ya hali ya afya vijijini baada ya kuzinduliwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda.


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipokea zawadi maalumu kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Deogratias Ntukamazina.


Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Lucy Nkya akikabidhi tuzo ya shujaa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kwa mwandishi, Muhidini Michuzi.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikabidhi tuzo ya shujaa wa Mfuko kwa Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii 9awamu ya tatu), Dk Hussein Mwinyi. Wanaoshuhudia ni Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa na Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye.

No comments:

Post a Comment