Monday, March 19, 2012

KAMPENI ZA UDIWANI SONGEA, MWANZA ZAPAMBA MOTO


Mwenyekiti wa chadema Mkoani Ruvuma Joseph Fuime akizungumza jana wakati wa mkutano wa kampeni za udiwani katika kata ya Lizaboni manispaa ya Songea.


Wafuasi wa chadema mjjini Songea wakimsikiliza mbunge wa chama hicho Chiku Abwao hayupo pichani, jana wakati wa mkutano wa kampeni za udiwani katika kata ya Londoni mjini Songea.


Mgombea wa nafasi ya udiwani kupitia chama cha demokrasia na maendeleo Chadema kata ya Lizabon Alanus Mwanja Mlongo, akiomba kura wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika jana katika viwanja vya Londoni mjini Songea.


Mbunge wa viti maalumCHADEMA mh Chiku Abwao akizungumza jana wakati wa mkutano wa kampeni za udiwani wa chama hicho uliofanyika katika viwanja vya London mjini Songea.

No comments:

Post a Comment