Monday, March 19, 2012

SAMIA SULUHU AKUTANA NA VIONGOZI WA WALEMAVU WA MACHO


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Samia Suluhu Hassan akizungumza na vingozi wa Chama cha Walemavu wa Macho nchini wakati walipomtembelea Ofisini Kwake Mtaa wa Luthuli Mjini Dar es Salaam leo. (Picha na Ali Meja)

No comments:

Post a Comment