Tuesday, March 20, 2012

GURUMO ANAENDELEA VIZURI


Msanii Mkongwe wa bendi Kongwe ya Msondo Ngoma Music, Muhidini Gurumo akiwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es salaam akipimwa mapigo ya Moyo na Ofisa Muuguzi Msaidizi wa Hospital hiyo, Suraiya Mohamed alipolazwa kufanyiwa uchunguzi wa kina toka mwishoni mwa wiki iliyopita

source: www.burudan.blogspot.com

No comments:

Post a Comment