Tuesday, March 20, 2012

LOWASSA AHUDHURIA SHEREHE ZA KUSIMIKWA ASKOFU MKUU MPYA WA JIMBO LA IFAKARA



Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akikaribishwa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel bendera kuhudhuria sherehe za uzinduzi wa Jimbo Jipya la Kanisa Katoliki Ifakara na kusimikwa kwa Askofu Mpya wa Jimbo hilo, Salitaris Libena zilizofanyika jana Ifakara, Mkoani Morogoro.


Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwenye sherehe za uzinduzi wa Jimbo Jipya la Kanisa Katoliki Ifakara na kusimikwa kwa Askofu Mpya wa Jimbo hilo, Salitaris Libena zilizofanyika jana Ifakara, Mkoani Morogoro.


Askofu Mkuu Mpya wa Jimbo la Ifakara,Muhashamu Salitaris Melchior Libena akitoa baraka zake kwa Viongozi wa Serikali waliohudhulia Sherehe hizo za kusimikwa kwake jana.



Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akitoa salamu kwa wakristo waliofika kwenye Sherehe hizo leo,ambapo ameliomba Kanisa Katoliki kuisaidia serikali katika kukabiliana na tatizo la ajira kwa vijana.


Mh. Lowassa akiwapungia mkono wakazi wa Ifakara.


Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Muadhama Polycarp Kardinali Pengo mara baada ya kumalizika kwa Sherehe ya Kuzindua Jimbo Jipya la Kanisa Katoliki Ifakara na kusimikwa kwa Askofu Mpya wa Jimbo hilo iliyofanyika leo Ifakara,Mkoani Morogoro.

No comments:

Post a Comment