Sunday, November 22, 2009

CHADEMA YAANZA KUPANGUKA TARATIIBU


Mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi Taifa, James Mbatia akikabidhi kadi ya uanachama kwa mwanachama mpya ambaye awali alikuwa Ofisa Habari wa CHADEMA, DAvid KAfulila leo katika makao makuu ya chama hicho, Ilala Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment