Tuesday, November 17, 2009

WALIMU WA PRIMARY WENYE DIGRII ZAO KUPEWA SHAVU

Serikali imesema itatoa 'shavu' kwa walimu wa Primary wenye digrii zao kufundisha katika shule za Sekondari. Katibu Mkuu Kiongozi wa nchi, Philemon Luhanjo ameyasema hayo leo alipofanya mkutano na wadau wa mambo ya habari jijini hapa.


Katibu Mkuu kiongozi, Philemon Luhanjo akizungumza leo na waandishi wa habari

No comments:

Post a Comment