Friday, November 13, 2009

HALMASHAURI ZA MIJI ZAKABIDHIWA MAGARI, PIKIPIKI NA PRINTERS

Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa kushirikiana na wahisani wamekabidhi magari 57 aina ya Nissan Patrol, Pikipiki 407 pamoja na printers 286 kwa Halmashauri za miji Midogo, ofisi za Mabonde na ofisi za Wizara kwa ajili ya kusaidia Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji (WSDP), leo jijini hapa Dar es Salaam.


sehemu ya pikipiki 407 zilizotolewa na wizara

sehemu ya magari 57 yaliyokabidhiwa

No comments:

Post a Comment