Lengo la tamasha hilo ni kuwashawishi watanzania kujenga utamaduni wa kufanya shopping katika maduka makubwa na kuondoa dhana tofauti iliyojengeka miongoni mwao kwamba shopping katika maduka hayo 'Malls' 'Plazas' na hata Supermarkets hufanywa na watu weupe pekee...

Baadhi ya wajasiriamali wakiendelea kuuza bidhaa zao katika tamasha hilo leo mchana..
No comments:
Post a Comment