Sunday, November 22, 2009

SHOPPING INAENDELEA KAMA KAWAIDA MLIMANI CITY

Tamasha la 'Mlimani City Shopping Carnival' lililofunguliwa Ijumaa iliyopita katika viwanja vya Mlimani city, limeingia siku yake ya tatu leo.

Lengo la tamasha hilo ni kuwashawishi watanzania kujenga utamaduni wa kufanya shopping katika maduka makubwa na kuondoa dhana tofauti iliyojengeka miongoni mwao kwamba shopping katika maduka hayo 'Malls' 'Plazas' na hata Supermarkets hufanywa na watu weupe pekee...

Baadhi ya wajasiriamali wakiendelea kuuza bidhaa zao katika tamasha hilo leo mchana..

No comments:

Post a Comment