Friday, November 13, 2009

MAHUJAJI WAKWAMA UWANJA WA NDEGE DAR

Zaidi ya Mahujaji 35 waliokuwa wasafiri kuelekea Makka kwa ajili ya Ibada ya Hijja wamekwama leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam.

Sababu ya kukwama kwao ni kushindwa kufikia makubaliano yao na wakala wa ndege wa Kampuni ya Skylink ambao ndio waliokuwa wakishughulikia masuala yao ya safari.

No comments:

Post a Comment