Thursday, November 26, 2009

TCC MLIPAKODI WA MWAKA

Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC), leo mchana imekabidhiwa tuzo ya mlipakodi wa mwaka toka Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA, wakati wa maadhimisho ya nne ya mlipakodi nchini yaliyofanyika katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini hapa.

Mshindi wa kwanza wa ulipajikodi wa mwaka, mwakilishi wa TCC (kushoto) na Mshindi wa tatu mwakilishi wa benki ya CRDB wakiwa katika pozi

Mjomba 'mrisho mpoto' naye alikuwepo katika upande wa burudani...

No comments:

Post a Comment